• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

MHE. AGGREY MWANRI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMKAMATA AFISA AMCOS NZEGA DC

Posted on: December 23rd, 2019

Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe. Aggrey Mwanry  ameagiza kuwa afisa wa AMCOS Rafael Malimbi aliyekimbia akamatwe mara baada ya kutoroka na pesa za AMCOS kiasi cha shilingi Milioni kumi na tano(15M). Mkuu wa mkoa aliyaeleza hayo akiwa katika kikao cha pamoja na watendaji wa vijiji na kata na maafisa tarafa wa wilaya ya Nzega. hatuwezi kuvumilia tabia za wizi kwa watu wa jinsi hii. nilitaka nile kichwa cha afisa ushirika wa wilaya na akatoa angalizo kwa diwani ambaye ni mzazi wa mtoto kuonesha ushirikiano kwani tayari tuna saini zake na maandishi yake ili huyo kijana apatikane. Alimwagiza mkuu wa Wilaya kutaka taarifa (CV) za watu wote katika uongozi wa AMCOS katika Wilaya yake,na kama kuna yeyote aliyewahi kuonekana kuwa na sifa yoyote mbaya aondolewe katika ushirika huo. Nilazima akamatwe atiwe funzo kwa mfano wa wengine. Mmekosea njia kwa kudhani kwenye AMCOS ndiyo sehemu ya kujitajirisha umepotea, huku ni kusoma neno la Mungu. kama kuna madai ya mkulima yeyote madai yake yapelekwe kwa mkuu wa Wilaya. Juu ya kilimo cha pamba kuanzia tarehe 15/11 tuwe tumepanda zao hili. mbegu za aina mbili zote zimekubaliwa. Aliagiza kuwa kila familia itapaswa kulima hekari3, juu ya palizi mkuu wa mkoa aliwataka wakulima kutochanganya mazao maotea na mazao mapya. Aliwasisitiza watendaji kujua makadirio ya wananchi wake,ijulikane ni mbegu kiasi gani zinatakiwa na ajue mikakati ya eneo lake. Awaagiza watumishi wote ambao hawakufika katika kikao hiki wachukuliwe hatua, ikiwa kama anashindwa kufika hapa basi hata huko mtaani hutenda hivyo huo ni uzembe na hauwezi vumiliwa, hivyo alimtaka afisa utumishi na afisa kilimo kuchukua hatua mara moja. Akieleza  faida ya matumizi wa mbolea na kilio kinachoendelea mpaka sasa kwa wananchi Mkuu wa Mkoa alitoa katazo kwa watumishi kwenda likizo, na kwa sababu ruhusa zimezuiliwa na ikatokea kuna yeyote a nayedai kuumwa basin a awe na uthibitisho wa maandishi na iwe kweli kama kalazwa ijulikane alomwandikia kitanda na daktari aliyemwandikia rufaa hiyo.

ili kuwa na mafanikio ya kazi ni vema kufanya kazi katika muda wa ziada, kamwe hamwezi kulingana na mikoa ya kanda ya ziwa ambayo inafanya vizuri katika kilimo cha pamba,hivyo nguvu ya ziada inatakiwa kufikia mafanikio ya wenzetu kama ilivyo kwa wanafunzi akeshaye na asiyekesha kupata A kuwa sawa ingawa nguvu wazitumiazo katika kupata hiyo A  ni tofauti.

Aliwataka watumishi kuona umuhimu wa kukopa serikalini trekta. Kama unasikia serikali inakopesha halafu usikope basi una matatizo na unapaswa kwenda milembe.

Mara baada ya Mkuu wa Mkoa kuzungumza aliwataka washiriki wa semina hiyo kutoa maoni ama kuuliza maswali, Mkuu wa Polisi Wilaya aliwataka watendaji kuwaelimisha wananchi kujua umuhimu wa kutunza watoto kwani vifo vingi katika wilaya ya Nzega hutokana na madimbwi na mabwawa pia alisisitiza ulinzi hasa katika sikukuu za Krismas kwamba watendaji  wahakikishe ulinzi unaimarika katika maeneo yao.

Afisa utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Ndugu Khadija Kabojela akijibu swali toka kwa mkuu wa Mkoa kuwa ana watumishi watendaji wa ngapi, alisema kuwa Halmashauri yake ina mapungufu ya watendaji 22 wa kijiji, lakini pia anashukuru serikali ya Rais Magufuli na Chama Cha Mapinduzi kwa kuleta watendaji 15 wa kata na kufanya kuwa na mapungufu ya watendaji 4 tu.

Mkuu wa mkoa amemaliza ziara yake ya siku tatu katika wilaya ya nzega iliyokuwa na uhamasishaji wa kilimo cha pamba. Upandaji miti , miti isipandwe mpaka ajiridhishe nayo kwa idadi sahihi. aliwataka watendaji kuwa na mabadiliko ya kitabia.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI NZEGA DC December 18, 2020
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI ZA HUDUMA ZAHANATI NA VITUO VYA AFYA 2021 March 02, 2021
  • FOMU YA MAOMBI YA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA KATIKA MAENEO YA NATA, ITOBO, BUKENE NA NDALA July 12, 2019
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MITI ZAIDI YA ELFU MOJA YAPANDWA

    January 05, 2020
  • MHE. AGGREY MWANRI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMKAMATA AFISA AMCOS NZEGA DC

    December 23, 2019
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Akabidhi Mikopo yenye Thamani ya Shilingi 84,000,000

    February 18, 2019
  • karibuni kuwekeza Nzega DC katika Ranchi, Wanyama na Mazao

    November 23, 2018
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Mtaa wa Umbi)

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0784364828

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa