• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe kwa Watumishi |
Nzega District Council
Nzega District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
    • Vitengo
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • sheria
      • Nyuki
      • TEHAMA
  • Fulsa za Uwekezaji
    • Vivutio vya utalii
    • Vivutio katika Kilimo
    • Vivutio vya Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
      • Utamaduni na Michezo
    • Maji
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Mipango na Utawala
      • kamati ya uchumi kazi na mazingira
      • kamati ya Elimu afya na maji
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Madili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • kuonana na mwenyekiti wa halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu za maombi
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video za shughuli za ofisi
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mradi wa viwanja

Start Date: 2019-12-01
End Date: 2023-06-30

Mradi wa ardhi


tangazo tangazo tangazo

 

mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya nzega anawatangazia wananchi wote kuwa zoezi la uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa na kuhakikiwa tayari vinapatikana katika maeneo ya itobo.

ni viwanja vya  makazi shilingi 1,000/= kwa mita za mraba

viwanja kwa biashara sh 1,500/= kwa mita mraba

viwanda vidogo vidogo  na Maghala sh 2,000/= kwa mita za mraba

 fomu ya maombi ya kiwanja huuzwa kiasi cha shilingi 20,000/= tu.

Malipo yako waweza kufanyika kwa awamu tatu. Kumbuka kuwa gharama za viwanja ni pamoja na utayarishaji wa Hati za viwanja.  mpaka sasa viwanja 485 vimepimwa.

Kwa waombaji waliokaribu fika katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Nzega. Lakini pia waweza pakua fomu katika tovuti yetu, www.nzegadc.go.tz

Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0784 864 828 mkurugenzi mtendaji, 0766 956 500 afisa Ardhi, 0787 019  061

Wekeza ITOBO kwakuwa ni eneo la  linalofaa kwa kilimo cha mpunga bora.

Matangazo

  • MATOKEO YA PSLE 2020/DARASA LA SABA December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI NZEGA DC December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 TOKA NZEGA DC WAVULANA NA WASICHANA December 18, 2020
  • FOMU YA MAOMBI YA UUZAJI WA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA KATIKA MAENEO YA NATA, ITOBO, BUKENE NA NDALA July 12, 2019
  • Angalia yote

Habari mpya

  • MITI ZAIDI YA ELFU MOJA YAPANDWA

    January 05, 2020
  • MHE. AGGREY MWANRI ALIAGIZA JESHI LA POLISI KUMKAMATA AFISA AMCOS NZEGA DC

    December 23, 2019
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega Akabidhi Mikopo yenye Thamani ya Shilingi 84,000,000

    February 18, 2019
  • karibuni kuwekeza Nzega DC katika Ranchi, Wanyama na Mazao

    November 23, 2018
  • Angalia yote

Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA NZEGA YAHAMISHIA SHUGHULI ZA KIOFISI NDALA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Matukio
  • Habari Mpya
  • Matangazo
  • Zabuni

Kurasa Zinazofanana

  • TAMISEMI
  • KARIBUNI NZEGA YETU
  • twitter
  • Instagram
  • Mkoa wa Tabora
  • Utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana na sisi

    Halmashauri ya Wilaya ya Nzega (Mtaa wa Umbi)

    Anuani ya Posta: S.L.P 4

    Telephone: 026 2692349

    Simu ya Kiganjani: 0784364828

    Barua pepe: md@nzegadc.go.tz

Mawasiliano Zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati miliki Halmashauri ya Wilaya ya Nzega @ 2017. Haki zote zimehifadhiwa